Hayawi hayawi, yamekuwa! Hatimaye Mh Edward Ngoyai Moringe Lowassa amepata fursa ya kutembea nchi nzima kuwashukuru wananchi waliompigia kura kwa kishindo na kupelekea UKAWA kuongeza idadi ya wabunge kwa kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa na chama chochote cha upinzani tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992.
Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya CHADEMA na aliyekuwa mgombea nafasi ya urais kwa mwavuli wa UKAWA, atafanya mikutano nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama na kuwashukuru wananchi waliompigia kura na watakaompigia kura katika uchaguzi mkuu wa 2020.
Chanzo: Mwananchi
MAONI YANGU
Nampongeza baba Lowassa kwa juhudi zake za kukijenga chama na kufanya maandalizi ya uchaguzi ujao mapema. Wakati CCM wanatoana ngeo kugombania nafasi ya ukatibu mkuu wa chama, UKAWA wanajipanga kuichukua nchi 2020. Hizi mbinu za kisayansi ni muhimu sana na zitafanikisha ushindi wa kishindo kwa UKAWA mnamo mwaka 2020. Viva Lowassa, Viva UKAWA.
Gambeka na KitwangaSijui safari hii ataongeza dakika za kuzungumza?
CHADEMA ni chama cha Lowassa?,Ni matumaini yangu safari hii hakutakuwa tena na zile " dharula dharula " na badala yake atazunguka kikamilifu kabisa huku akiwa amejipanga pia kuweza kuzungumza kwa muda mrefu kwani sasa hana presha wala cha kupoteza. Namtakia ujenzi mwema wa Chama chake cha CHADEMA ili kizidi kuendelea kuwa Chama shiriki kila miaka mitano mitano ya uchaguzi.
Pole ya nini sasaPole sana mkuu
Lowassa hana credibility na moral authority ya kudai katiba, record zipo juu ya msimamo wake dhidi ya katiba ya Warioba, hii kazi awaachie kina Lissu, Mnyika na wengine ambao nadhani kwa sasa hawako nae.Bila kupigania mabadiliko ya katiba, hakuna kitu kiongozi. Upinzani hauhitaji nguvu kubwa kupata kura za kutosha. Nguvu kubwa zipelekwe kwenye kudai katiba mpya ambayo ndiyo suluhisho la kutangazwa kwa mshindi!. Kwa nini tuzungeke mbuyu?
Kama hatutakuwa na mpango madhubuti wa kupatikana katiba ya wananchi, ninaomba hizo fedha za mkutano, zinunue sukari, Isambazwe nchi nzima wauziwe wanachama wa UKAWA waliopo na wanaojiunga. Tena kwa sababu ya sukari na maisha kuzidi kuwa magumu huku kina Lugumi wakilindwa kwa nguvu zote za serikali ya ccm, wanachi kutelekezwa wakifa kwakukosa huduma za afya huku waliojidai kwamba watawapa mabadiliko wakionyesha hata hawayajui mabadiliko yaliyokuwa yanaletwa na UKAWA, na kwamba hata nia wala maono na uwezo wa mabadiliko hawana zaidi ya sarakasi za kisanii, UKAWA watengenze kadi nyingi sana za wanachama wapya. Wazitawanye nchi nzima, na sukari kwa wingi ili wanachama wao wnaunue.
Wabaki CCm wakipiga makofi pamoja na miayo! Duh, aibu hiii!!!!!!!!!!1
Low
Lowassa hana credibility na moral authority ya kudai katiba, record zipo juu ya msimamo wake dhidi ya katiba ya Warioba, hii kazi awaachie kina Lissu, Mnyika na wengine ambao nadhani kwa sasa hawako nae.
Ha ha ha, ina maana kale ka mtindo ka anayeanza lazima amalize ka CCM jamaa a mesh aka hamishia huku, kama ndivyo democrasia IPO wapi ndani ya Chama cha Democrasia na Maendeleo. Mm nadhani hii trend so nzuri kwa CHADEMA unless otherwise kama ni mkakati vinginevyo inaweza kuleta mgawanyiko ndani ya chama.Hayawi hayawi, yamekuwa! Hatimaye Mh Edward Ngoyai Moringe Lowassa amepata fursa ya kutembea nchi nzima kuwashukuru wananchi waliompigia kura kwa kishindo na kupelekea UKAWA kuongeza idadi ya wabunge kwa kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa na chama chochote cha upinzani tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992.
Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya CHADEMA na aliyekuwa mgombea nafasi ya urais kwa mwavuli wa UKAWA, atafanya mikutano nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama na kuwashukuru wananchi waliompigia kura na watakaompigia kura katika uchaguzi mkuu wa 2020.
Chanzo: Mwananchi
MAONI YANGU
Nampongeza baba Lowassa kwa juhudi zake za kukijenga chama na kufanya maandalizi ya uchaguzi ujao mapema. Wakati CCM wanatoana ngeo kugombania nafasi ya ukatibu mkuu wa chama, UKAWA wanajipanga kuichukua nchi 2020. Hizi mbinu za kisayansi ni muhimu sana na zitafanikisha ushindi wa kishindo kwa UKAWA mnamo mwaka 2020. Viva Lowassa, Viva UKAWA.
Chama shiriki???? una maana gani kamanda wa CHADEMA? makamanda tunamsubiri na mifagio tukadeki barabara hatujali kutukanwa na mafisadi waliachwa CCM...lolNi matumaini yangu safari hii hakutakuwa tena na zile " dharula dharula " na badala yake atazunguka kikamilifu kabisa huku akiwa amejipanga pia kuweza kuzungumza kwa muda mrefu kwani sasa hana presha wala cha kupoteza. Namtakia ujenzi mwema wa Chama chake cha CHADEMA ili kizidi kuendelea kuwa Chama shiriki kila miaka mitano mitano ya uchaguzi.
KW hyo suluhisho la matatizo yetu ndo lowassa em kuwa serious kidogo
Umewahi fika monduli ukajionea hali ikoje Kule kW kiongizi wa mabadiliko??
Shda ya maji
Barabara mbovu kwa mfano kutoka Monduli MJINI hadi Engaruka juu nauli ni sh 30,000/= na ni ndani ya wilaya moja
Lepurk,serera,irkisale,mswakini no kata zpo kule hawajui chochote kuhusu maji safi wala umeme na Huyo lowassa kawa mbunge kwa zaidi ya miaka 20
Sasa kama jimbo dogo kama LA monduli lenye Kata 20 tu kashindwa kupeleka changes VP nchi nzma??
Shtuka ww
Ndiyo hofu yangu mie pia.Asijinyee tu.
Asijinyee tu.
Hii sentensi CCM chalii mmeitumia miaka 20 sasa.Safii sana kamanda wetu,tupo nyuma yako.CCM 2020 chaliii
Walisema wana Chato, siyo TataMadiba.haya uliyosema ungemwambia Magufuli sheria ya mitandao ingefanya kazi, ila kwa kuwa ni mpinzani sheria haina maana.
Hayawi hayawi, yamekuwa! Hatimaye Mh Edward Ngoyai Moringe Lowassa amepata fursa ya kutembea nchi nzima kuwashukuru wananchi waliompigia kura kwa kishindo na kupelekea UKAWA kuongeza idadi ya wabunge kwa kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa na chama chochote cha upinzani tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992.