Software Engineering, Hawezi hata kwa mbinde. Akasome PC maintanance and Troubleshooting certificate ndio kasha diploma
HAPO LAZIMA AWE AMEFAULU Hisabati na Fizikia, lakini mtu mwenye Div F na hisabati au fikizia nadhani hakuna labda asome secretarial course, kompyuta ataigusa gusa