Dodgers Gamers Member Joined Aug 20, 2025 Posts 82 Reaction score 98 Sep 1, 2025 #1 Kuanzia kesho (septemba 2) klabu ya Young Africans itamiliki eneo lenye ukubwa wa eneo la mita 37,500. Hii kitu iko na ukweli wowote? Kutoka mwamaspoti
Kuanzia kesho (septemba 2) klabu ya Young Africans itamiliki eneo lenye ukubwa wa eneo la mita 37,500. Hii kitu iko na ukweli wowote? Kutoka mwamaspoti
L Lee Van free JF-Expert Member Joined Aug 14, 2024 Posts 2,355 Reaction score 7,452 Sep 1, 2025 #2 Ni kweli,ni uwanja kwa ajili ya kufugia vyura watakaohamishwa kutokea mtaa wa jangwani kupisha ujenzi wa miundombinu.
Ni kweli,ni uwanja kwa ajili ya kufugia vyura watakaohamishwa kutokea mtaa wa jangwani kupisha ujenzi wa miundombinu.
Dodgers Gamers Member Joined Aug 20, 2025 Posts 82 Reaction score 98 Sep 1, 2025 Thread starter #3 Lee Van free said: Ni kweli,ni uwanja kwa ajili ya kufugia vyura watakaohamishwa kutokea mtaa wa jangwani kupisha ujenzi wa miundombinu. Click to expand... Hahahahahaahaaaa
Lee Van free said: Ni kweli,ni uwanja kwa ajili ya kufugia vyura watakaohamishwa kutokea mtaa wa jangwani kupisha ujenzi wa miundombinu. Click to expand... Hahahahahaahaaaa
Lord Delamere in Kenya JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 5,278 Reaction score 10,276 Sep 1, 2025 #4 Lee Van free said: Ni kweli,ni uwanja kwa ajili ya kufugia vyura watakaohamishwa kutokea mtaa wa jangwani kupisha ujenzi wa miundombinu. Click to expand... Hivyo vyura vilishawahi kupanda ndege kweli? Wale wenzao wa Kihansi walishapanda pipa kwenda Marekani. 😂🤣
Lee Van free said: Ni kweli,ni uwanja kwa ajili ya kufugia vyura watakaohamishwa kutokea mtaa wa jangwani kupisha ujenzi wa miundombinu. Click to expand... Hivyo vyura vilishawahi kupanda ndege kweli? Wale wenzao wa Kihansi walishapanda pipa kwenda Marekani. 😂🤣
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 59,172 Reaction score 69,675 Sep 1, 2025 #5 Janja Janja
N Nimekumindi njoo Member Joined Aug 25, 2025 Posts 61 Reaction score 49 Sep 1, 2025 #6 Acheni uhuni Yanga inawafanya mkose usingizi kbs