Mimi ni mkunga mwanaume, ila kwa sasa nafanya kazi ya udalali wa viwanja, bahati nzuri GF wangu alishazunguka sana na kaamua kutulia kwangu, hawezi kubabaishwa na kijumba chako. Mwenyewe nillmpata baada ya kuwa ameachika kwa bwana mwenye ghorofa so nini kijumba