All in all, Fei Toto ni fundi. Akiufanyia kazi huo ushauri, atafika mbali. Ni kweli kadogo bado kana umayai mayai! Kakiongeza stamina ya mwili wake, pumzi ya kutosha, akili ya kushambulia zaidi kuliko kutoa pasi za kusifiwa na mashabiki, akirudisha yale mashuti yake ya kushtukiza, hakika tutakafukuza ili kakajaribu bahati yake nje ya nchi.