Na si hapo tu Marekani wana bases zaidi ya 13 nchini Iraq.
Baadhi ya base hizo ni Abu Ghraib, Khadimiya, Fallujah, Al Khalis (imefungwa), Ninewah, Umm Qasr, Surbatiyah, Taji, Balad, Baghdad, Muharraq (uwanja wa ndege) na huu uwanja upo karibu na uwanja wa ndege wa Bahrain.
Uwanja wa ndege wa Bahrain walindwa na kuendeshwa na jeshi la Marekani., huku polisi wa Bahrain wakifanya doria tu huko pembezoni au twaita parameters.