Ipod

Enny

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
962
Reaction score
131
Wandugu natafuta ipod kwa mwenye nayo ani PM
 
Ya kampuni gani maana siku hizi si apple tu..kuna kampuni nyingi wana ipod..pili unataka zenye ukubwa gani (GB ngapi)??mpya au used ??bajeti yako ni sh ngapi ??
 
Ya kampuni gani maana siku hizi si apple tu..kuna kampuni nyingi wana ipod..pili unataka zenye ukubwa gani (GB ngapi)??mpya au used ??bajeti yako ni sh ngapi ??

mzee naona umekosea kidogo. Ni kampuni moja tu ndio inayotengeneza i-devices(including ipod). Ulikosea uliposema kuwa kuna kampuni nyingi zinazotengeneza "IPOD". Nadhani Labda ungesema mp3 players
 
Mimi ninayo slim ipod 8gb naiuza kwa laki na hamsini cash nitafute kwa number hii 0713935738
 
Mimi ninayo ipod touch 2nd generations nataka laki mbili na nusu tu ina 32gb
 
mzee naona umekosea kidogo. Ni kampuni moja tu ndio inayotengeneza i-devices(including ipod). Ulikosea uliposema kuwa kuna kampuni nyingi zinazotengeneza "IPOD". Nadhani Labda ungesema mp3 players
Kaka hp wana ipod nzuri sana na inakuja kwa kasi sokoni inaitwa ipod citi
 
Ni kweli ni teknolojia ya apple ndio mwenye hati miliki na uwezo wote,lakini katika biz kuna kuuziana jina na teknolojia ni kitu cha kawaida..prado ni teknolojia ya mwingereza aliiuza kwa mjapani ndio maana ili gari linauzwa bei ndogo uk kuliko japan sasa linaitwa toyota prado,i devices ni tech ya apple lakini sasa ni tech ambayo wawezaiona kwenye kampuni nyingine kama Hp
 
Mwana mbona hivyo.....toa pesa hiyo mwana mimi ninayo 8gb touch scrn laki na hamsini tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…