Nime tumia iPhone kwa muda mrefu toka kipindi kile cha iphone 3G mpaka sasa Iphone 6 cha ajabu sasa nikiwa natumia simu yoyote ya android naona Kama sio nzuri kabisa na ngumu kutumia... Hii ni kwangu Tu au tupo wengi?
Nime tumia iPhone kwa muda mrefu toka kipindi kile cha iphone 3G mpaka sasa Iphone 6 cha ajabu sasa nikiwa natumia simu yoyote ya android naona Kama sio nzuri kabisa na ngumu kutumia... Hii ni kwangu Tu au tupo wengi?