Iphone


Kilimanjaro siyo maji kama uhai na wengine , angalia Ph yake utagundua kwamba ni maji masafi (pure water ) kuliko maji mengine
 
Kusema iPhone inauzwa bei kubwa kuliko android phone hapa umesema uongo, simu zote ambazo ni high end karibia zina bei sawa mfano mzuri kaulizie bei ya iPhone 7 halafu urudi kwenye bei ya samsung galaxy s8 ndo utajua kuwa ulichokisema sio kweli
 
Kama ulishawahi tumia izo simu utajua uthamani wake, ni sawa na mtu kuvaa nguo ya mtumba mwingine abae ya special(bei ghali) halafu uulize ni yupo yuko uchi wakati wote wamevaa.
 
Kama ulishawahi tumia izo simu utajua uthamani wake, ni sawa na mtu kuvaa nguo ya mtumba mwingine abae ya special(bei ghali) halafu uulize ni yupo yuko uchi wakati wote wamevaa.
Daah humu ndani thread zote we ni wa mwisho kureply mpk kukuche nahs utakua umemaliza kukoment zote
 
Daah humu ndani thread zote we ni wa mwisho kureply mpk kukuche nahs utakua umemaliza kukoment zote
nilitamani nisiriplei ili wewe ndo uwe wa mwisho
 
Iphone hainaga ijinga wa ku stuck sijui inaganda sijui virus. Sijui ujinga gan. Unapotumia iphone wewe mwenyewe kwamza unajiona wa thaman. Hata kama huna kitu, ni imara zaid kulinganisha na material yaliyotengenezewa unajua kama iphone 6 haivunjik kioo Hata ikikudondoka kuanzia floo ya tatu? Kosea kuitia mfukon android yako ikudondoke halaf ndo utajua umuhim wa iphone.
 
..... unajua kama iphone 6 haivunjik kioo Hata ikikudondoka kuanzia floo ya tatu? Kosea kuitia mfukon android yako ikudondoke halaf ndo utajua umuhim wa iphone.


Dah!!! Watu na mapenzi yao hakyanani vilee japo huu mwezi wa toba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…