Mwny nayo kasahau password?rudisheni Simu ya watu nyie,huweZi fanya chochote kama huijui hy password ya iCloud
nenda posta jengo la mavuno house ulizia fundi anaitwa baker ila ni gharama sana kama laki tano
Mkuu usimdanganye mwenzio kumbuka hiyo ni iCloud password na sio pattern password au network lock
Mwny nayo kasahau password?rudisheni Simu ya watu nyie,huweZi fanya chochote kama huijui hy password ya iCloud
Acha uongo iphone unaporeset lazima uweke password ya icloud umereset kwa itune au hii ni ya kupigwa mtafuteni mwenye cm mmpe cm yake ilo ni kopo kwenu
Mkuu hakuna mtu anaweza kuitoa hiyo lock utahangaika sana
Btw nimepoteza iphone 6+ isije ikawa ndio hiyo umeuziwa mkuu
If so check na mimi pm tumalizane
hata kama umesahau pwrd si ariset tu aende kwenye email yake aingize hiyo paswrd mpya
Wadau,
Wife amekumbuka password yake baada ya kulia kwa masaa kadhaa na sasa simu yake ipo poa kabisa, shukrani kwa wale walichangia kwa kutumia akili;
Kwa wale waliokurupuka kwa hisia, nawapa rai wanapokuwa kwenye mitandao ya kijamii wapunguze mihemuko maana wengi walikmbilia kwenye wizi.
Shukrani.
Acha kukurupuka, ukiwa kwenye mitandao usihisi kila mtu ni kama wewe......
Na katafute basi uibe ili uwe na kopo la iphone
Problem solved at last mke wangu amekumbuka password yake.
Next time tumia akili kufikiri, kwa kuwa wewe ni kibaka unahisi kila mtu ni kibaka?