Iphone 5s used for sale on affordable price

Iphone 5s used for sale on affordable price

ngararumo

Senior Member
Joined
Oct 17, 2011
Posts
173
Reaction score
43
Imetumika kizungu haina michubuko kwa anayehitaji anicheki kwa namba 0686-156550
 
ImageUploadedByJamiiForums1421269143.664042.jpg bei lak 8 na nusu
 
Sorry kwa kuchelewa kujibu ubusy kidogo ndio tatizo
 
Mbona una bei mbili mbili?
Kusema imetumika kizungu ni ubabaishaji, kizungu ndio muda gani?
 
Bei mbili mbili zipi mkuu...hiyo ni iphone 5s ile nyingine niliyopost ni iphone 5...imetumika kizungu means bado ni mpya na haina tatizo lolote kama unaihitaji unaletewa unaiangalia na kukagua kla ktu had utakaporidhia usiporidhia tunasema tumeshndwa kuafikiana...sio mbabaishaji na kama upo serious tunaonana tunafanya biashara thats all
 
Mkuu kuna iphone 5 na iPhone 5s...na hizi simu ni tofauti na kwa bei pia
 
Kama upo serious ncheki kwenye namba hiyo apo tufanye biashara mkuu...kwa laki 6 labda nikuuzie iphone 5 na sio 5s
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom