Ipad inafanya kazi kama Computer isipokuwa kuna facilities ambazo hazipo. Kuna Ipad za aina nyingi tofauti ikiwa ni ukubwa wa RAM na ukubwa wa sehemu ya kuhifandhia kumbukumbu. Pia zipo Ipad ambazo ni Pure Computer kila kitu kipo na kila kitu kinafanyika bila matatizo.