KAMA HUNA UZOEF SI UKAUSHE MKUU!!PIA KUNYAMAZA NI BUSARA!!!
Nway mdau nahisi ukiwa wa kwanza ni njema zaid coz humanity n consideration inakuwepo kwa upande wa panel
inategemea na wewe una confidence kiasi gani...kama unajiamini, kauze sera wa kwanza...nenda ka-set standard za kuwalinganishia wenzako, kama huna confidence we bora uwasubiri wachoke kwanza then ukiingia na wewe ujione ulifanya interview ila watu wao walishawapata kitambo!!! there is always an advantage in goin first....am nat sure abt goin last