Interview za utumishi

Barua ya utambulisho Huwa wanapokea Sijui kama walibadilisha utaratibu
 
Habari wakuu hivi kama umeitwa kwenye interview utumishi na una namba ya nida tu .Je unaweza kwenda na barua ya serikali za mitaa ikakubalika? Nawasilisha wana Jf
Hawakubali Mimi niliwah Rudishwa nikiwa na Copy kabsa ya kitambulusho maana Org ilipotea,,,
Wanapokea Barua ya Utambulisho, na usisahau kuweka passport yako kwnye hyo barua
 
Habari wakuu hivi kama umeitwa kwenye interview utumishi na una namba ya nida tu .Je unaweza kwenda na barua ya serikali za mitaa ikakubalika? Nawasilisha wana Jf
Hongera kaka kuitwa interview Mungu akusimamie. Tuombee pia tupate
 
Habari wakuu hivi kama umeitwa kwenye interview utumishi na una namba ya nida tu .Je unaweza kwenda na barua ya serikali za mitaa ikakubalika? Nawasilisha wana Jf
Wanapokea barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…