G Geofrey Banda New Member Joined Apr 15, 2025 Posts 4 Reaction score 6 Apr 15, 2025 #1 Wakuu, wale walioitwa kwenye interview za ajira za MDA & LGA kupitia Ajira Portal, mbona wameweka mikoa bila kuweka venue ya kufanyia? Inamaanisha ukifika mkoa husika utafanyia wapi usaili? Kwa anaye fahamu eneo husika, atujulishe.
Wakuu, wale walioitwa kwenye interview za ajira za MDA & LGA kupitia Ajira Portal, mbona wameweka mikoa bila kuweka venue ya kufanyia? Inamaanisha ukifika mkoa husika utafanyia wapi usaili? Kwa anaye fahamu eneo husika, atujulishe.
Jerry001 JF-Expert Member Joined Apr 29, 2020 Posts 1,318 Reaction score 3,035 Apr 15, 2025 #2 Usiwe na haraka utajulishwa kupitia akaunti yako siku tatu kabla ya usaili. Wewe jisogeze kwenye mkoa wa usaili.
Usiwe na haraka utajulishwa kupitia akaunti yako siku tatu kabla ya usaili. Wewe jisogeze kwenye mkoa wa usaili.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 165,751 Reaction score 184,590 Apr 15, 2025 #3 Mambo ya serikali ndivyo yalivyo... Cc: Mahondaw
13hadithi Member Joined Aug 15, 2021 Posts 55 Reaction score 31 Apr 19, 2025 #4 Gervasjr said: Kada gani na level gani hiyo mkuu wameita? Click to expand... TAA
Mtu Mbadi JF-Expert Member Joined Feb 28, 2024 Posts 522 Reaction score 614 Apr 20, 2025 #5 Hawa majamaa wa Utumishi sisi kada za Wizara ya Maliasili (MDA and LGA) wametusahau nini..
A ANQAA Member Joined Apr 21, 2020 Posts 15 Reaction score 14 Apr 20, 2025 #6 Mbona walishatoa tangu juzi? Wameweka kwenye pdf. Tazama website ya PSRS na sio ajira portal.
A ANQAA Member Joined Apr 21, 2020 Posts 15 Reaction score 14 Apr 20, 2025 #7 Wametoa vituo kwa tarhe husika na Kanda pia
Mtu Mbadi JF-Expert Member Joined Feb 28, 2024 Posts 522 Reaction score 614 Apr 22, 2025 #9 ANQAA said: Mbona walishatoa tangu juzi? Wameweka kwenye pdf. Tazama website ya PSRS na sio ajira portal. Click to expand... Wildlife Officer na Forest Officer hazikuwepo
ANQAA said: Mbona walishatoa tangu juzi? Wameweka kwenye pdf. Tazama website ya PSRS na sio ajira portal. Click to expand... Wildlife Officer na Forest Officer hazikuwepo