Qns: products and service za voda.
2: mteja akipiga simu akiwa mkali itafanyaje ili kuweza kumtuliza na kuweza kumuhudumia.
3: kwenye writen na oral yapo sawa. Ila pia wana computer interview, maswali yao ni kubold, italic, color kutegemea neno utakalopewa kulifanyia kazi ambayo ni normal kama unajua application office
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums