Interview at smile telecommunication co ltd

Nakushauri uende,nasikia jamaa wako vizuri kwenye malipo(wanalipa in terms of dollars).Huwezi jua huenda tym yako ya kusahau shida imefika.
 
OK ntaenda ila najiuliza wamepata wap my CV na my contacts
 
erolink wanahusika mkuu,hope uliwai kupeleka cv yako erolink
 
Chema chajiuza...hiyo title si haba..ila kwa kushangaa kwako inaonesha hii habari ya kupika
 
Sijapika mtumishi!! Na Kwann mm nifanye hivo ndugu yangu!
 
hao waturuki wanalipa mbaya go go I know them well//niliwa fanya nao kazi za temporary!
 

itakuwa imetumwa na watu uliofanya nao intavuu ambao wanamahusiano nao..
 
Hao wapo chini ya erolink...post ni sales executive...na sio sales executive manager maana hakuna hiyo title ...sales manager yupo so unaweza kuwa direct sales au indirect sales...

uwe tayar na practicle interview..

Unaweza ambiwa uza hiyo modem au simu....

All the best
 

They pay good?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…