Acha wivu wa Kike wewe,mwache awaibie hao hao wezi wa mali za Umma na matajiri wenzake. Unataka kuniambia wizi au utapeli wake una directly impacts gani kwako na kwa Maisha ya Watanzania wengi kuliko hayo Majizi ya Serikalini ya EPA,Richmond,Escrow,Meremeta,Gas na uchafu wa kila aina unaogusa Maisha ya kila siku ya Watanzania moja kwa moja?