yah , kweli zipo hizo software(eg bluetooth hacker) lakini lazima ukubali kujiunga nao ndo wanaweza kukufanyia ushenzi huo bila ya wwe kujijua, eg when you got a notification " do u wana connect with yahoo " , yahoo hapo ni jina la bluetooth user kama ilivyo ally o amina , so once u accept the connection , a hacker gain control ya cmu yako na anaweza kufanya mambo chungu nzima kwenye cmu yako bila ya wwe kutambua hata kutumia cmu yako kumpigia m2 mwingine