Unashangaa unakuta ile Rav 4 ya mwanzo ina miaka 5 ipo Tanzania..lakini inauzwa 13,000,000 ambayo ni $5600 yani bei ya Japan kabisa hadi unashangaa hawa madalali matatizo yao ni yepi..ukweli mtupu!
aghalabu hizi ndizo bei za kuagiza mtumba wa Japani.
Mleta Uzi labda hajui bei za magari tunavyouziana mtaani. Bei zake ziko juu kama za showroom used from Japan. Kwa bei ya kumvua mtu kibongobongo huwa imepoa sana kuliko bei hizi za mleta uziMkuu kulenga ni kulinganisha aina ya gari na bei inayouzwa... Labda kwa sabbu umesema hauuzi za kulenga tu wacha tusubiri ila so far bei zako ni kama za siku zote tu nothing new hapa
Kweli mkuu, hizi bei zake hata ukiweka na ya wachoma nyama bado zipo juu...Mleta Uzi labda hajui bei za magari tunavyouziana mtaani. Bei zake ziko juu kama za showroom used from Japan. Kwa bei ya kumvua mtu kibongobongo huwa imepoa sana kuliko bei hizi za mleta uzi
Mkuu nilengee vitz old model namba yoyote ofa yangu 3m na ya kwako 200k hapohapo
Sikatai bei hiyo unapata Nissan etr ila je imenyooka kama hiyo? kama unayo iliyonyooka kama hiyo njoo kwenye namba zangu au ilete mwenge ofisini uondoke na pesa yako
Nimepata ya 7.5. Kuna mtu kanifata humuhumu. Tumeyajenga, tukakutana na tukamalizana. Hivisasa nai-customize tu ifanane na mimi.mkuu hujapata ya 7M ninahitaji sana ukileta ilionyooka nakupa 9
7.5M tumalize biashara.Lete ofa ya kumshawoshi bosi akuachie gari, ipo sokoni.View attachment 1206847
Uzi haujaanzishwa kwa madhumuni ya magari hayo tu! jiongezi tu mkuu,
Pia JF kumejaa watu aina mbali mbali na wa vipato tofaut, kama kwako gari ya 3M ni kulenga, mwingine kwake 30M ni yakulenga,
Mwingine budget yake ya gari ni 200M akiona gari aina ile imetangazwa 150M na vigezo anavyohitaji basi ni ya kulenga kwake
Umeeleza jambo la msingi sana mkuu.Gari inaweza kuwa namba D afu kwa hiyo bei bado unaweza ukawa umepigwa... Inategemea na hali ya gari mzee usikariri namba. Zipo namba B zimepaki tu au ruti masaki ruti m city na ikawa imenyooka kuliko hizo D
Tunzo, ipo 7.9MLete ofa ya kumshawoshi bosi akuachie gari, ipo sokoni.View attachment 1206847
Nitumie hizo starlet nizione 0743941142Haya yapo
Starlet CAH..............4.5m
starlet DD..............5.5m
Ist DFM ..................8.8m
Ist DFH................8m fixed
Ist DDR ...............8.2m
Ist DN.................9.5m
Vitznewmodel DM . 7.8m
Vitz old .CVB....... 5.5m
Vitz old. Cx........5m
Harrier old DMT.... 15.8m
Markx. DQH........11.5m
Crowm athlete DF..... 11.5m
Crown athlete DLS...... 12.5m
Haya magari yapo, picha nichek kwa namba yangu ya 0713415537