Hivi inawezekanaje mchele kilo 2800? viongozi hawafanyi kitu? Mi na kashule na kakazi kangu shughuli naipata sasa yule mwenzangu na mimi inakuwaje? Imagine this is May, come december mtaniambia.
Zile hela za ziara za mawaziri mikoa ni kuwaambia wananchi nini kimefanywa na serikalli yao nashauri wakanunue grains nje waziflood sokoni kushusha bei. Ile hifadhi ya chakula SGR vipi mbona wameshindwa kucurb price hikes za vyakula? au ndo siasa nao. Life is too tough.
Unajua nchi hii kila mtu huwa anajifanya ni mchumi ivi mkuu nani alikwambia INFLATION ni kupanda kwa bei ya kitu flani pekee,kwa kukusaidia inflation refers to a rise in the general level of prices of goods and services in an economy over a period of time,ukisahau neno "general" ni kosa kichumi,haihitaji uwe na shahada ya kwanza ya uchumi kutoka pale UDSM ili uelewe vitu vidogo kama hivi hata mwanafunzi wa mwaka wa kwanza pale THE AMAZON COLLEGE anajua mambo hizi.............!
Mkuu tunakufa kimyakimya bila kupiga kelele!
Mwezi uliopita mchele ulikuwa unauzwa Tsh. 2300
Mwezi huu ni Tsh. 2800
ongezeko ni Tsh 500 bila change
Mwezi wa kumi na mbili mwaka jana mchele uliuzwa Tsh. 1700 mpaka 2000.
Hayo ndio matokeo ya baba zako na bibi zako walioichagua CCM mwaka 2010,sasa waache wakione cha moto,na bado mimi naomba ifike buku tano kabisa ili ndugu zako watie adabu ili 2015 akili ziwe zimewarudi!
2800 mbona ndio bei y mchele PEMBA!
hiyo ni kama 1.5 USD ambayo sio kubwa kihiivyo!