INCUBETORS

dany gamase

Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
46
Reaction score
4
Tunatengeneza mashine za kuzalishia vifaranga kwa bei nafuu kabisa. Mashine zetu ni nzuri na zenye uwezo zaid na hatching capacity yake ni asilimia 97. Mashine zetu zipo popote pale kwa maana naandaa mashine kulingana na hitaji la mteja. Kuna mashine za mafuta ya taa na umeme. Kuna manual na automatic karibun sana.
0758100001
0753700399


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…