Ina applet ya kutibu dengue..?!
Samtyms let us be siriaz kwa sred za watu.
U know wat....!?..watu huja hapa under stong rizons behind..!
Tuheshimu mawazo hasa biashara za watu.
Kama ni biashara kuna ukumbi wake sio huu.
Nasikia hizo simu zinaambukiza dengue eti..unauza bei gani mkuu? naomba contact yako mimi nahitaji
Uelewa wako ni sawa na wa mke wangu.
Nini maana ya jukwaa la habari na hoja mchanganyiko.?
Pendelea kutumia kichwa (kikubwa---kama wewe ni mwanaume) katika kuwaza na kuamua.