kujipiga kiberiti cyo kujichoma moto hahaaa misemo ishabadilika vijana tunaharbu maana ya maneno kila kukichaUkijipiga kiberiti kuna mawili
-Kuungua ukaokolewa ukapona na kubaki na majeraha
-Kufa kabisa
Asa kwanini uchukue risk ya kufa ama kupona akati mazombie ya kike yamezagaa?
Binafsi nakushauri utafute zombie wa kike
Hahaa basi sawa mkuu weka namba ya huyo mdada tumpleke lodge sisi wenye pesa originalpesa ninazo ila za bandia
Pole sana dogo, sasa kama huna hata pesa ya Lodge, huyu shem ungeenda kumgegeda kwenye mapagala (majumba mabovu) au kichakani?kuna dem nna kama week 3 namfkuzia ,uwa namwandkia sms muda mwngne hajibu muda mwngne ananipa hope ananiambia nivute subira . nkasema poa wacha niendelee kuvuta subira na hewa.asa leo Asubuhi nmeamka nakutana na sms iliyonkata knoma.aliandka "mambo,G kuna ktu ntaka nkwambie asa ww unasema unanipenda na huna ata ela ya kunipeleka lodge ,nakushauri tafuta ela watajileta wazur zaid yangu mm"
zombieboy cjui nijipige kiberiti au ntafute zombie wa kike.
Maana yake ni nini kujipiga kibiriti?kujipiga kiberiti cyo kujichoma moto hahaaa misemo ishabadilika vijana tunaharbu maana ya maneno kila kukicha