deibra Member Joined Jan 10, 2019 Posts 74 Reaction score 35 Jan 18, 2019 #1 Nimewasogezeaa karibu jinsi hali ya ndugu zetu wakenya inavyoendeleaa.... Usisahaau kutoa maoni yako video iko hapo chiniView attachment 255692537802_status_d6c4302e15564d7caf92e3fea462244f.mp4 Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewasogezeaa karibu jinsi hali ya ndugu zetu wakenya inavyoendeleaa.... Usisahaau kutoa maoni yako video iko hapo chiniView attachment 255692537802_status_d6c4302e15564d7caf92e3fea462244f.mp4 Sent using Jamii Forums mobile app
rikiboy JF-Expert Member Joined Feb 19, 2017 Posts 22,165 Reaction score 43,854 Jan 18, 2019 #2 Wapuuzi sana hawa mbwa Sent using Jamii Forums mobile app
logframe JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 4,242 Reaction score 5,553 Jan 18, 2019 #3 Looh, kazi kweli kweli Bendera yenyu itakuwa nyekundu tupu Sent using Jamii Forums mobile app
BONGOLALA JF-Expert Member Joined Sep 14, 2009 Posts 16,511 Reaction score 11,911 Jan 18, 2019 #4 Wametoa onyo kuja zanzibar sasa sijui watanzania tumejipangaje kuwakabili
BRO SANTANA JF-Expert Member Joined Jun 15, 2015 Posts 1,845 Reaction score 2,249 Jan 18, 2019 #5 Waislamu wote tunalaani na kupinga yote yanayofanywa na vikundi vyote vya kigaidi ikiwemo alshabaab kwani sio mafundisho ya dini hii bali ni tamaa zao na chuki zinazopandikizwa na wachache dhidi ya uislamu. Sent using Jamii Forums mobile app
Waislamu wote tunalaani na kupinga yote yanayofanywa na vikundi vyote vya kigaidi ikiwemo alshabaab kwani sio mafundisho ya dini hii bali ni tamaa zao na chuki zinazopandikizwa na wachache dhidi ya uislamu. Sent using Jamii Forums mobile app
avogadro JF-Expert Member Joined Apr 30, 2013 Posts 8,585 Reaction score 15,362 Jan 18, 2019 #6 deibra said: Nimewasogezeaa karibu jinsi hali ya ndugu zetu wakenya inavyoendeleaa.... Usisahaau kutoa maoni yako video iko hapo chiniView attachment 998497 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... wewe ndio unaiona hii leo? makomandoo wa kenya na marekani walishamfanya kisusio siku nyingi sasa hivi yupo hukio jana anawatafuna wale mabikira 72
deibra said: Nimewasogezeaa karibu jinsi hali ya ndugu zetu wakenya inavyoendeleaa.... Usisahaau kutoa maoni yako video iko hapo chiniView attachment 998497 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... wewe ndio unaiona hii leo? makomandoo wa kenya na marekani walishamfanya kisusio siku nyingi sasa hivi yupo hukio jana anawatafuna wale mabikira 72