Hahahaaaa. Wameshazowea yaani. LolMnapenda kulialia
Jinias babu.. nipo namba nne saivAsilimia kubwa ya wanawake sasa hivi ni kama vile wamebeba mabeseni ya matatizo yao ya zamani,sasa na yajao,sasa ukijichanganya kumtongoza anakutwisha beseni ikiwa hata papuchi hajakupa na ndio hapo tunapobadilisha gia angani halafu wanaanza kulalamika hawana bahati.
Hizi si nyakati zile jamani tupambane na hali zetu.