Inahitajika gari ya 2.5m

NAREI

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2017
Posts
1,730
Reaction score
1,665
Habari wakuu,

Nina ndugu yangu anatafuta gari ya Kuanzia maisha walau.

Gari anazopendekeza ni cresta, corolla, starlet, gx 100.

Iwe kwenye hali nzuri tu na inayotembea.

Ziwe engine ndogo.

Karibuni kwa wenye gari mliozipaki ndani tu zisije kuoza.

Location: iwe Dar
 
Watu hawajavutiwa na ofa yakk mkuu, ongeza ofa
 
Kwa bei ya hizo gari ili upate ilio safi utahitajika uwe na walau 4.5m
 
Kwa maisha yalivyo magumu hiyo 2.5m ni nyingi sana.
Utapata gari hata kwa 900K.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…