unakuta mtu kakutenda vibaya na majigambo juu bt bado unampenda unashauriwa mpaka na wachungaji umsahau ,,pamoja na mabaya mengi alokutendea bado moyoni hatoki na kuona hutakuja kupata kama yeye au zaidi yake au huzani kama utakuja kufurahi/ kuishi bila yeye .
jmn ni wote huwa inawatokea au nikujiendekeza tu.