Kuna siku niliwaambia wote wanaopenda kusoma mambo ya uandishi wa Habari, Utangazji, Radio Production waniPM. Wengi waliniPM wakiulizia details zaidi. Sasa details ziko hapa:-
1. Kozi itaanza May 2, 2011
2. Mahali: FPCT Shinyanga Vijana Center (Shinyanga Mjini)
3. Level: Certificate in Radio Production vyeti vitatolewa na SVC under VETA.
4. Muda: 1 month full time in class 1 month part time and 3 moths field.
5. Ada: Tafadhali tuandikie email haraka kucomfirm mambo ya Ada:
radioproducer@rediff.com Utajulishwa haraka iwezekanavyo!
6. Utajitegemea kimalazi na chakula kwa muda wote wa masomo.
Karibu sana, tumefundisha wengi na sasa wameajiriwa katika redio mbalimbali.
Utafundishwa masomo yafuatayo:-
COURSE PLAN
Languages: English, Swahili
The course can base on Basic Journalism, Broadcast and Radio Production. It depends what is your need to your staffs.
The contents of the course are:-
A.
JOURNALISM
• Introduction to Journalism.
• Media Ethics
• Broadcasters Ethics
• Media laws
• News collecting, writing, editing, presenting and publishing.
B.
BROADCASTING
• Presenting skills
• Vocal training
• Live presenting
• Live music programming
• Using DJ software such as Virtual DJ, BPM studio, tune tracker etc.
• News and Sports presenting
• Programs Presenting
C.
RADIO PRODUCTION
• Microphones
• Sound
• Recording
• Using hand machine for recording.
• Studio (Equipments)
• Program formats
• Jingle, Spot and Adverts Production
• Program Productions
• New Program Programming (ideas, proposal writing and Demo)
• Creativity in Radio Production (updating world current issues in Media)
• Audio editing using software such as Adobe audition, Audacity, Kristal etc.