technically JF-Expert Member Joined Jul 3, 2016 Posts 13,555 Reaction score 57,850 Jun 23, 2025 #1 Adui wa mwalimu ni mwalimu mwenyewe Iko wapi NETO? Hii nchi ukiwa na njaa na tamaa huwezi kufika popote!!
Adui wa mwalimu ni mwalimu mwenyewe Iko wapi NETO? Hii nchi ukiwa na njaa na tamaa huwezi kufika popote!!
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 31,641 Reaction score 81,540 Jun 23, 2025 #2 technically said: Adui wa mwalimu ni mwalimu mwenyewe Iko wapi NETO? Hii nchi ukiwa na njaa na tamaa huwezi kufika popote!! Click to expand... Ahaaa !!!
technically said: Adui wa mwalimu ni mwalimu mwenyewe Iko wapi NETO? Hii nchi ukiwa na njaa na tamaa huwezi kufika popote!! Click to expand... Ahaaa !!!
Kinoamiguu JF-Expert Member Joined Nov 29, 2018 Posts 16,239 Reaction score 22,869 Jun 23, 2025 #3 Walimu hawa waliopewa vishikwambi vya kichina Wakashiriki wizi wa KURA 2020 Kisha Ukiwauliza wanajichekesha kwamba " WANA VIAPO"?
Walimu hawa waliopewa vishikwambi vya kichina Wakashiriki wizi wa KURA 2020 Kisha Ukiwauliza wanajichekesha kwamba " WANA VIAPO"?
N Nanye Go JF-Expert Member Joined Oct 29, 2018 Posts 14,381 Reaction score 19,080 Jun 23, 2025 #4 Viongozi waliitwa Dodoma wakainhia mitini, walianza kuwindwa wakakamatwa huko geita wakapotea.
Kinoamiguu JF-Expert Member Joined Nov 29, 2018 Posts 16,239 Reaction score 22,869 Jun 23, 2025 #5 Nanye Go said: Viongozi waliitwa Dodoma wakainhia mitini, walianza kuwindwa wakakamatwa huko geita wakapotea. Click to expand... Kwa walimu hawa . Waliopewa vishkwambi vya kichina Hakuna namna wanaweza kudai chochote
Nanye Go said: Viongozi waliitwa Dodoma wakainhia mitini, walianza kuwindwa wakakamatwa huko geita wakapotea. Click to expand... Kwa walimu hawa . Waliopewa vishkwambi vya kichina Hakuna namna wanaweza kudai chochote
N Nanye Go JF-Expert Member Joined Oct 29, 2018 Posts 14,381 Reaction score 19,080 Jun 23, 2025 #6 Kinoamiguu said: Kwa walimu hawa . Waliopewa vishkwambi vya kichina Hakuna namna wanaweza kudai chochote Click to expand... NETO siyo waajiriwa wa ccm. Wao ni non-employee teacher organization.
Kinoamiguu said: Kwa walimu hawa . Waliopewa vishkwambi vya kichina Hakuna namna wanaweza kudai chochote Click to expand... NETO siyo waajiriwa wa ccm. Wao ni non-employee teacher organization.
Kinoamiguu JF-Expert Member Joined Nov 29, 2018 Posts 16,239 Reaction score 22,869 Jun 23, 2025 #7 Nanye Go said: NETO siyo waajiriwa wa ccm. Wao ni non-employee teacher organization. Click to expand... Hitaji lao halikuwa kubadilisha mifumo bali kuoata ajira. Wakipata wananyamza
Nanye Go said: NETO siyo waajiriwa wa ccm. Wao ni non-employee teacher organization. Click to expand... Hitaji lao halikuwa kubadilisha mifumo bali kuoata ajira. Wakipata wananyamza
N Nanye Go JF-Expert Member Joined Oct 29, 2018 Posts 14,381 Reaction score 19,080 Jun 23, 2025 #8 Kinoamiguu said: Hitaji lao halikuwa kubadilisha mifumo bali kuoata ajira. Wakipata wananyamza Click to expand... Waliitwa Dodoma wazungumze na Simbachawene hawakujitokeza, wakaanza kutafutwa viongozi wakadakwa huku Geita Neto ikafa, hata ajira hawakupata.
Kinoamiguu said: Hitaji lao halikuwa kubadilisha mifumo bali kuoata ajira. Wakipata wananyamza Click to expand... Waliitwa Dodoma wazungumze na Simbachawene hawakujitokeza, wakaanza kutafutwa viongozi wakadakwa huku Geita Neto ikafa, hata ajira hawakupata.
Kinoamiguu JF-Expert Member Joined Nov 29, 2018 Posts 16,239 Reaction score 22,869 Jun 23, 2025 #9 Nanye Go said: Waliitwa Dodoma wazungumze na Simbachawene hawakujitokeza, wakaanza kutafutwa viongozi wakadakwa huku Geita Neto ikafa, hata ajira hawakupata. Click to expand... Asili ya ccm ni kuwatia watu uwoga
Nanye Go said: Waliitwa Dodoma wazungumze na Simbachawene hawakujitokeza, wakaanza kutafutwa viongozi wakadakwa huku Geita Neto ikafa, hata ajira hawakupata. Click to expand... Asili ya ccm ni kuwatia watu uwoga
N Nanye Go JF-Expert Member Joined Oct 29, 2018 Posts 14,381 Reaction score 19,080 Jun 23, 2025 #10 Kinoamiguu said: Asili ya ccm ni kuwatia watu uwoga Click to expand... Ndivyo madikteta wana oparate dunia nzima. Tuna hitaji msaada wa mossad ku ivunja vunja dola. Nasi tutaanza na viongozi kama wafanyavyo Israel.
Kinoamiguu said: Asili ya ccm ni kuwatia watu uwoga Click to expand... Ndivyo madikteta wana oparate dunia nzima. Tuna hitaji msaada wa mossad ku ivunja vunja dola. Nasi tutaanza na viongozi kama wafanyavyo Israel.