FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Niamini Mimi si mchawi,wala jini, atakae kuwa amekuchanja Bali Mungu mwenyewe,
Hapo yakupaswa kuwa mvumilivu maana utapitia mambo makuu na baadae kufuzu kwa ajili ya kuitumikia jamii
Niamini hakuna wakati Siri za Mungu zimetoka kama kipindi hiki na wengi mnaoelewa tu kitu kimoja,kifupi Michael Jackson alitabiri kwa kusema This is it!ktk album yake ya mwisho akiwa stejini
zidi kunifuatilia utagundua maneno haya yameandikwa kwa weledi na kuvuka hatari zote za kiuandishi sio rahisi kuwa na visa mfululizo kibinadamu ila wakati huu vipo
Nb:tunza siri na ndoto Unazooteshwa jisikilize kabla ya kusema au kuandika utafika muda nawe utapewa mda wa kutamba
Instagram:kaukwaju
Hapo yakupaswa kuwa mvumilivu maana utapitia mambo makuu na baadae kufuzu kwa ajili ya kuitumikia jamii
Niamini hakuna wakati Siri za Mungu zimetoka kama kipindi hiki na wengi mnaoelewa tu kitu kimoja,kifupi Michael Jackson alitabiri kwa kusema This is it!ktk album yake ya mwisho akiwa stejini
zidi kunifuatilia utagundua maneno haya yameandikwa kwa weledi na kuvuka hatari zote za kiuandishi sio rahisi kuwa na visa mfululizo kibinadamu ila wakati huu vipo
Nb:tunza siri na ndoto Unazooteshwa jisikilize kabla ya kusema au kuandika utafika muda nawe utapewa mda wa kutamba
Instagram:kaukwaju