IKB's FUNDI SIMU

IKB's FUNDI SIMU

IKB

Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
75
Reaction score
29
Unasumbuliwa na simu yako tablete ...
Fundi niko kariakoo mtaa walindi na Msimbazi gerezani,
Tuna flash na kutoa lock...
Tuna badilisha vioo yani display pamoja na tach, yani screen touch...
Tuna badilisha battery yandani kwandani
Na pia tuna badilisha glass protector kwaajili ya kukinga simu yako isivunjike kioo ikindondoka kwabahati mbaya. Unakuta Glass pekee ndo inavunjika.
Nakama una simu Samsung ambayo kioo chake nicomplet alafu imepasuka kioo chajuu lakin inafanyakaz vizuri, aina aja yakununua kio chalaki naa ! Naweza kubadilisha kioo chajuu kwabei nafuu



Kama simu ako inajitach yenyewe... Kwenye mesej unashindwa kuandika muda mwingine unakuta mpaka uweke simu ako upande ili uandike vizuri, shida nitach ibadilishe,

Ata ukiwa mkoani waweza ituma cm ako kwanjia ya bas ya Dar es salaam ntaipokea nakuirekibisha kisha nakutumia cm ako bada ya marekebisho

Maswali naushauri nibure .

Piga simu
+255744778873

WhatsApp number
+255763403330

+255675314966

Fundi Isaac Issa.

Epuka matapeli wamjini
You are welcome by IKB's FUNDI SIMUView attachment 772005View attachment 772009View attachment 772010View attachment 772011View attachment 772032
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom