Ijumaa Kareem.

kheri ya Ijumaa ya mapumziko. hizi ijumaa kuu zingekuwa kama kumi hivi kwa mwaka ingekuwa raaaaha
 
kheri ya Ijumaa ya mapumziko. hizi ijumaa kuu zingekuwa kama kumi hivi kwa mwaka ingekuwa raaaaha

...kwa Kanisa lote la Kirumi kila IJUMAA ni Siku ya kufunga na kujinyima "na kipindi cha Kwaresma", isipokuwa kama sherehe inaangukia Ijumaa.
 
Teh teh tutusa umekua huonekani tokea uvuliwe nguo na Ritz bado kupig... ��

Allah akupe mabikira 1000 kwa hii sunna uliyopata kwa hayo uliyoyaandika. Hakika Allah anafurahi sana anapokuona mja wake unatimiza kwa vitendo mafundisho yake. Tukana tena sheikh uongezewe mabikira...
 
Last edited by a moderator:
Allah akupe mabikira 1000 kwa hii sunna uliyopata kwa hayo uliyoyaandika. Hakika Allah anafurahi sana anapokuona mja wake unatimiza kwa vitendo mafundisho yake. Tukana tena sheikh uongezewe mabikira...

Eti mungu wenu leo ndio alikufa???? Makristo wasanii kuliko ze comedy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…