FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Tunaomba jeshi LlaPolisi liweke wazi, ili watu watu waweze kujihami kwa unga huo wa upupu (magic powder),
Upupu a.k.a shoti ya umeme wa kienyeji
Ikitokea wezi wa boda boda watawavamia basi waweze kuwamwagia sawa sawa na wakabaji roba
Waweze kuutunza ktk lailoni ili iwe rahisi kutoboa kwa kidole na kumpaka mkabaji au kumwagia tokea mfukoni,lazima akuachie ndani ya mda mfupi labda siyo upupu wa Tabora
Inakuhitaji kijiko Kimoja au viwili tu vya upupu vilingisha ktk laioni.
Nb:haliwezi kuwa zao la biashara na kuwauzia mataifa au nyie polisi ktk maji yenu ya washawasha
Hupatikana kwa wingi Tabora.
Upupu a.k.a shoti ya umeme wa kienyeji
Ikitokea wezi wa boda boda watawavamia basi waweze kuwamwagia sawa sawa na wakabaji roba
Waweze kuutunza ktk lailoni ili iwe rahisi kutoboa kwa kidole na kumpaka mkabaji au kumwagia tokea mfukoni,lazima akuachie ndani ya mda mfupi labda siyo upupu wa Tabora
Inakuhitaji kijiko Kimoja au viwili tu vya upupu vilingisha ktk laioni.
Nb:haliwezi kuwa zao la biashara na kuwauzia mataifa au nyie polisi ktk maji yenu ya washawasha
Hupatikana kwa wingi Tabora.