icloud kwa iphone

Big jay

Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
96
Reaction score
33
Nimeuziwa simu iphone 4 kwa bei chee sana ila nimeambiwa ina icloud nitawezaje kuifungua ni wapi naweza pata hii huduma?
 
Huwez hyo cmu uza spea tu i cloud haitokii na kama mwenye simu anaiyafta ukiweka lain na kuwasha simu wata kukutrack vizuri kuwa makini
 
Huwez hyo cmu uza spea tu i cloud haitokii na kama mwenye simu anaiyafta ukiweka lain na kuwasha simu wata kukutrack vizuri kuwa makini

Nimekusoma mkuu ila lengo ni kuifungua ikiwezekana mengine yatafuata
 
I cloud zinatoka as long as they have not reported to have be stolen
 
Ikiwa imeripotiwa huwezi kuitoa mpaka mwenye sim umjue aifungue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…