na unimanye
Member
- Apr 20, 2014
- 84
- 28
TumekusikiaNimekuwa nikifuatilia sana Taarifa ya Habari ya itv tangu kampeni za uchaguzi za jimbo la kinondoni itv haijawahi kutoa Taarifa za mgombea Cuf...
Mara mnamtambulisha Salim Mwalim kuwa ni mgombea wa Ukawa..!
Ukawa upi wakati kila Chama kimeweka mgombea?
Mgogoro uliopo Cuf ni wa Cuf wenyewe kama chombo cha Habari ripotini kwa usawa.. Acheni kutumika..
CUF nacho ni chama cha siasa?Nimekuwa nikifuatilia sana Taarifa ya Habari ya itv tangu kampeni za uchaguzi za jimbo la kinondoni itv haijawahi kutoa Taarifa za mgombea Cuf...
Mara mnamtambulisha Salim Mwalim kuwa ni mgombea wa Ukawa..!
Ukawa upi wakati kila Chama kimeweka mgombea?
Mgogoro uliopo Cuf ni wa Cuf wenyewe kama chombo cha Habari ripotini kwa usawa.. Acheni kutumika..
Nimekuwa nikifuatilia sana Taarifa ya Habari ya itv tangu kampeni za uchaguzi za jimbo la kinondoni itv haijawahi kutoa Taarifa za mgombea Cuf...
Mara mnamtambulisha Salim Mwalim kuwa ni mgombea wa Ukawa..!
Ukawa upi wakati kila Chama kimeweka mgombea?
Mgogoro uliopo Cuf ni wa Cuf wenyewe kama chombo cha Habari ripotini kwa usawa.. Acheni kutumika..
Mleta mada kilichokuudhi ni Salum Mwalimu kupewa coverage na si CUF kukoswa coverage !! Vipi TBC ya taifa kuipa CCM 99% ya taarifa zake hazikuumi ila hili la Mwalimu kutambulishwa kama mwana ukawa.CHUKI mbaya sanaNimekuwa nikifuatilia sana Taarifa ya Habari ya itv tangu kampeni za uchaguzi za jimbo la kinondoni itv haijawahi kutoa Taarifa za mgombea Cuf...
Mara mnamtambulisha Salim Mwalim kuwa ni mgombea wa Ukawa..!
Ukawa upi wakati kila Chama kimeweka mgombea?
Mgogoro uliopo Cuf ni wa Cuf wenyewe kama chombo cha Habari ripotini kwa usawa.. Acheni kutumika..
Nimekupata sana mkuuKwa kukusaidia tu ni kwamba ukiona hupati ' coverage ' ya kutosha au yoyote kutoka kwa Media hasa za Kimadafu / Kitanzania basi jua ya kwamba huwa huwapi ' Pesa ' pale wanapokuja Kwako au unapowahitaji. Na siku hizi hatuwaiti tena Journalists bali tumewabatiza jina jipya la ' Brown Envelop Journalists ' kwa Kitendo chao cha Kutanguliza Pesa / Maslahi kuliko Taaluma, Maadili na Ueledi Kiuwajibikaji / Kazini.
Mtazamo wako huoMleta mada kilichokuudhi ni Salum Mwalimu kupewa coverage na si CUF kukoswa coverage !! Vipi TBC ya taifa kuipa CCM 99% ya taarifa zake hazikuumi ila hili la Mwalimu kutambulishwa kama mwana ukawa.CHUKI mbaya sana
Ahhh, sasa mbona hii ya TBC ya taifa kuwanyima wapinzani nafasi huoni kama ni issue ????!!!.Mtazamo wako huo
cuf hamna mgogoro wa kichama, Ila kuna mgogoro kati ya cuf na LipumbavuNimekuwa nikifuatilia sana Taarifa ya Habari ya itv tangu kampeni za uchaguzi za jimbo la kinondoni itv haijawahi kutoa Taarifa za mgombea Cuf...
Mara mnamtambulisha Salim Mwalim kuwa ni mgombea wa Ukawa..!
Ukawa upi wakati kila Chama kimeweka mgombea?
Mgogoro uliopo Cuf ni wa Cuf wenyewe kama chombo cha Habari ripotini kwa usawa.. Acheni kutumika..
Haswaa, ipo hivyo hivyo!Kwa kukusaidia tu ni kwamba ukiona hupati ' coverage ' ya kutosha au yoyote kutoka kwa Media hasa za Kimadafu / Kitanzania basi jua ya kwamba huwa huwapi ' Pesa ' pale wanapokuja Kwako au unapowahitaji. Na siku hizi hatuwaiti tena Journalists bali tumewabatiza jina jipya la ' Brown Envelop Journalists ' kwa Kitendo chao cha Kutanguliza Pesa / Maslahi kuliko Taaluma, Maadili na Ueledi Kiuwajibikaji / Kazini.
Ushakunywa chai lakini!