mkuu nipo dar kigamboni fanya 150 maana haina tatizo lolote si charge wala nini hata touch yake haizingui . Ina camera primary na sec pia ni I.O.S 6.5.1 ina wireless gb64 ram ni 256mb. Ni 4th generation .
nauza bei hyo course bei yake halisi nimejaribu kuuza wanakasema kubwa sana kwani nilianza kwa 200000Tsh ya mtahani . Sasa nimepunguza wanasema ya kichina hili ndo tatizo la watanzania wenzangu. Pia picha na muonekano ni sawasawa kwani haina scrutch yoyote.
ndugu yani nakwambia haina tatizo lolote niamini na guarantee ni matunzo yako kwani vitu kama hv si poa kushare na watu. Na apple product zao ni imara sana si rahisi kuharibika.
kaka hii ni i pod si simu ila ni special kwa miziki ,video na movies pia unaweza kutumia wireless na kuinstall baadhi ya programs kama games,fb,viber,instagram na zengine ina features sawasawa na i phone au i pad kwani ni products za apple kwani inatumia i tune store .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.