Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,441
Hahaha noma kiroho safiInasikitisha sana
Uwezi dogoHalf american we nusu albino a.k.a haji manara, bifu letu haliishi mpaka nikutoe menoo
watu tunakuja na kusepa, kawaida hiyo.Pole kwa msiba
Tugange yajayo
Leo nakiri mi dogo, ila niguse upasuke 😅Uwezi dogo
Yaap tuishi tuwatu tunakuja na kusepa, kawaida hiyo.
japo sijui msiba wa nani mkuu!
Siku ya Mei Mosi au Nanenane awekwe kwenye banda maalumu kama maonesho.Italipa sana.Wangapi walitupenda wakaondoka hawaja rudi, we live once tuki ondoka haturudi.
Kupishana mawazo jambo la kawaida tu, usi catch feeling sana akati wote wapitaji tu.
Tabasamu waki kufurahisha, kichafue waki kukasirisha,huzunika ukiona mkeka ume chanika.
Intelli fvckin world.View attachment 3609038
Oya Buddha umefiwa na nani?Kupishana mawazo jambo la kawaida tu, usi catch feeling sana akati wote wapitaji tu.
Hahaha we jamaa huwa una vituko sana, ka vipi pingili yake ikatwe ili ma ex zake waililieSiku ya Mei Mosi au Nanenane awekwe kwenye banda maalumu kama maonesho.Italipa sana.
Amna mwanangu, nime jikuta nime andika tu.Oya Buddha umefiwa na nani?
Maybe in the next life bwasheeTukipata nafasi tusiache kunywa bia
Huyo muhuni amekunyea?Mimi nasikitika juzi mwanagu loose Nut kanitolea mbovu kisa nimeandika Uzi ambao hajaupenda , nimehuzunika sana coz tumetoka mbali na Jamaa na tumekuwa tukielimishana jukwaani halafu Kaja kunitukana kipuuzi wakati tunapita hii lifeView attachment 3609045
Nitakunywa kwa niaba yako bwashee , next life ni kutafunwa na siafu bwasheeMaybe in the next life bwashee