Huyu mwanamke yukoje

Niambie Tu

Senior Member
Joined
May 29, 2022
Posts
198
Reaction score
363
Habari kabla sijalala ngoja nije na hii.

Now nimeelewa kwanini wanaume tunakufa mapema.

Nina mke ambaye muda wote kisirani.

Ananuna nuna muda wote.

Ni mtu ninayeishi nae kwenye nyumba mpaka najiuliza huyu ni mke au adui yangu.

Wanaume Tunapitia mengi halfu yeye anaona kawaida.

Hana mawasiliano na ndugu zangu Wala majirani wanaomzunguka.

Aisee ntakuja kumuacha tu
Ni
 
Mawasiliano na ndugu zako ili iweje ??

Kama anajua malezi na Kazi iliyomleta vumilianeni

Kifo kuwatenganisha
 
Nina mke ambaye muda wote kisirani.

Ananuna nuna muda wote.

Ni mtu ninayeishi nae kwenye nyumba mpaka najiuliza huyu ni mke au adui yangu.
Mkuu mwanamke kununa nuna huwa ni ishara kuwa HUJAMTOMBAA inavyotakiwa, mara nyingi wakiwa na nyege huwa wanakuwa na kisirani kisicho na sababu. JITATHMINI.

NOTE: Kama ananunia hadi majirani hio ni ishara kuwa ana nyege za mda mrefu zinamsumbua (hizi ni issue za hormones), Ingekuwa anakununia wewe peke yako tungesema amepata mchepuko.

Man up, chunguza kwanza madhaifu yako na uyafanyie kazi then utayaona ya mwenzako kirahisi sana.

Mwisho, inaonekana na wewe una Umaa fulani hivi wa kulalamika lalamika. Jifunze kukaza mtoto wa kiume, misimamo na jitahidi uwe kiongozi kwa Mkeo.

Be a Man, penetrate her bila huruma.
 
Sasa jamaa km ni muumini wa hizo vitu huoni kumshauri ni ngumu bruh ?
Mm siwez kula iko kiapo na kukaa kweny gereza na mwanamke mpumbavuu,kisirani kununa nuna,kususa,ugomvi ,maneno na usaliti ivyo sio tunda la roho harekebishiki anasepa sina pingu.
 
Looh, umekuja kunianika humu?
 
Humtombioo vizuri
 
Hiyo ndio safi kijana unafanya kazi πŸ‘ mwanaume ndo inatakiwa hivyo πŸ‘Š kama anakupa mbunye safi tuπŸ‘

Ila bro mkeo Kuna kitu unamkosea, mtoe out, mpe zawadi, piga nae stori alafu utagundua anachotaka Nini, πŸ”°
 
Kama utaendelea kuishi na Mwanamke wa hivyo,basi anza kabisa kuulizia Bei ya majeneza kisha ulipie kabisa ili usije ukasumbua watu.
 
Kama utaendelea kuishi na Mwanamke wa hivyo,basi anza kabisa kuulizia Bei ya majeneza kisha ulipie kabisa ili usije ukasumbua watu.
Huyu mwanamke loyal, tulikubaliana mwanamke unabalansi mafiga matatu usibabaishwe na mmoja. 1. Pesa 2. Mkazo 3. Wa kutamba nae πŸ˜‚
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…