Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
It is time for writers of his calibre to stamp the mess directly to the president!!!
It was a good writings, with general comments and advice!!
It is very possible that what you think as mess, is exactly what he wanted it to be. If he thought it is a mess he would have cleaned it up, he does not do it simply because he likes it that way, and he does not like they way we talk about it.
Ni wakati wa vijana kuutambua umuhimu wa watu kama hawa JU and Dr Slaa ni watu wenye hekima na ufahamu wa juu sana, vijana wangepata nafasi na kujifunza kutoka kwao, uwezo wa JU ktk kutoa mada na kuielezea ni mkubwa sana, tatizo la nchi yetu haihitaji watu kama hawa inahitaji watu kama kina makamba (minner thinkers) sio great thinkers!! Wisdom can build a house.. tatizo ni kwamba Raisi wetu hawezi kusoma mada za JU, wala usitarajie akasoma mada nzito kama hizo
Typical Management By Crisis(MBC)!...
Tunangoja litokee la kutokea ndipo tuanze kuunda tume, kusoma kwa mbwembwe salamu za pole etc!...
Can anyone tell me what so hard for the Government to take general and total action for the Universities that daily o into strikes...
Can one pal tell me, up to when will the TRL brethren wail with that agony?...
Will somebody narrate to me how come does the government keep keep promissing heavens on Dar City Transportation solution, considering those hell-like traffic JAMS!(otherwise tell me kama ni indication ya maendeleo..ha ha haaa)...
Is this Kilimo kwanza myth picking any step ahead, or it had in plan some hidden hands!...
Hivi wale waliotuhumiwa na rushwa kwenye kura za maoni kesi zao zimefikia wapi?...just curious!
Na yule mkubwa aliyemsafisha vijisenti na baadaye akaumbuliwa alishajiuzulu?...anasemaje?
Sitaongelea Dowans kwa muda huu, coz we are about to be heart-broken before midnight today!
Walisema kamba hukatika pabovu...Mukubwa, tusaidie kurekebisha pabovu!
Otherwise its time we had a Mukubwa imported from somewhere, donor country or so!,..maana hakuna mwenye uchungu na hii inji tena!.
Autopilot has been engaged, he might be enjoying somewhereWe are heading to this series of episodes in no time...actually we are currently halfway to it!
Jenerali is a wise person, and he has seen alot to that age!...Chembe na chembe mkate huwa.
Where i dont actually figure-out is this silence by the Mkubwa!...I even question myself if at all he is in the country!
God Help!
Hivi rais huwa anasoma makala anazoandikiwa na Jenerali?
And definitely loose Tanzania's citizenship!The heading used gave me a chilly feeling but made me open the post even faster!
General has said it wisely. I completely agree. Now its time for him to be direct and straight. He must say it and plaster it on JK's face. And CCM must be told.
We dont have time to waste talking in parables. Jenerali is better placed to get this message across. I remember his long letter which I replied in part. If he can write another one and personally deliver it then he will do great service to Tanzania our beloved country.
KidukuI actually had the same in a couple of days ago!
I was surprised to learn from the hourly news, he was in Msoga, being handed over a primary school by the chinese envoy!!!
Mkubwa.....mkubwa...mkubwa, what are your priorities?
Ha ha haHata akisoma atazielewa mkwere wa watu??!!
kwanini JU asigombanie uraisi tu......?
mkuu?
Kiongozi,
Naona nimekustua na comment yngu.,.isikutishe.
All i was trying to express was my anger over the tendency of the people with power, and rensponsibility just relaxing while citizens cry with varying life-hurdles!
Iam trying to digest JU's mail which has taken me to the depths of the alien world...am actually pissed off by these big stones who are busy ripping-off the country, leaving the country into shambles.