Huruma iliyozidi kipimo

Mwambie huyo shemu ashike adabu na hii iwe mara ya mwisho kuleta jambo kama hili. hutaki kumharibia urafiki na unampa fursa ya kujirekebisha na asile mambo a uzabi zabina baina yenu. Mwabie umesikitishwa sana na kitendo cha kutaka kumsaliti rafikiye ambae kamfanyia hisani nyingi
 
Mwambie shemeji yako kuwa huna mipango na michepuko kwahiyo hata yeye mwenyewe huwezi kumwingilia. Lakini kuna jambo lingine hapo. Huyo shemeji yako mjanja inawezekana ni msagaji. Amemsaga huyo mkeo mtarajiwa kwa muda mrefu na ana mpango wa kuendelea kumsaga hata ukiwa naye, ndiyo maana anataka usije ukamletea mtu mwingine wa nne kwenye mnyororo wenu wa mapenzi.
 

Hiyo nayo sababu mkuu maana ukaribu wao haaa sipatagi picha ndio maana ilinishangaza nikaona niilete hapa kwa wana jamvi
 


Hii inaweza kuwa ukweli ndani yake. Tafakari...
 
Huyu shem naye anataka mchezo ila we mgumu kuelewa. Watu humu wamekushangaa sana kwasababu hili jambo la kawaida. Si busara kumwambia mpenzio umetongozwa maana naye anatongozwa na siyo mara zote anakwambia. Hata kama hutaafiki kutoka naye basi meza.pini huna haja ya kumueleza mpenzo wako.
 
Mwaya ongea na mchumba wako, mwambie asimuamini best wake 100%. Usimpe details lkn make it in a way kwamba now that she is going to be a wife aevaluate uhusiano na kuuredefine ili 'usiingiliwe na ibilisi'.

Kunyamaza totally kutakuletea tatizo. Na next time akiomba appointment record hiyo conversation na ikiwezekana atakachokuambia just in case.

Msingi wa uwazi na kuaminiana kwenye ndoa ni muhimu. Angekuwa sio rafiki yake ungeiua bila kumwambia. Lkn kwa vile ni rafiki tena ni chakaramu huwezi jua motives zake. Anaweza kukugeuzia kibao.
 
Huruma iliyozidi kipimo iaingiaje hapo?
 
Na hiyo huruma ya Mke-mtarajiwa angalia isije ikapita kikomo, akaanza kuwahurumia makapera wa mtaani, jinsi wanavyoteseka na baridi usiku.:director:
 
Hapa mjini nenda polepole, utavamia walanguzi wamapenzi, waikaange roho yako inyauke kama mti.
 

Tatizo mbinu aliyotumia kaja kikondoo mno ni ngumu kujua kama chui...ndio maana inakuwa ngumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…