Hukumu ya kupinga ubunge sumbawanga mjini

jamaa ni kweli ni boya ni classmate wangu na tangu aingie bungeni ni mademu tu ndo kazi yake wakina Bulaya, hembu angalia recodi zake za bunge na cv yake yake nimeiweka kwenye uzi wangu
 
Jangwani Primary School
Primary Education
1983
1989
PRIMARY!!!!!!!!!!!!!!!!!
huyu jamaa ni darasa la saba tu basi??halafu ni mhindi au mtanzania mbantu?? naomba msaada!!
 
ni chotara wa kiarabu! ana kaufisadi fisadi!
Jangwani Primary School

Primary Education

1983

1989

PRIMARY!!!!!!!!!!!!!!!!!
huyu jamaa ni darasa la saba tu basi??
halafu ni mhindi au mtanzania mbantu?? naomba msaada!!
 
Mungu atuamshe salama jaji asiwe gamba,atumie sheria,cdm chaguo la wananchi
 
Hayo ni matokeo aliyoyarekebisha Pinda, mpaka leo watu wa huko hawataki kumuona na alikuwa anaheshimika kabla ya kufanya uchakachuzi huo!
 
Kwani TZ kuna mahakama za Kisheria? Nijuavyo mahakama zetu Ziko kisiasa zaidi.. Au kwani Unadhani TZ kuna uongozi wowote ??!! Ni UTAWALA Mwanzo mwisho..
Twenzetu msiban Armr

Mie naweza kusema ni takataka tu.....

Wenzetu Kenya na Uganda wametuzidi sana!!...

Hii ni aibu/tusi kubwa wanalojitukana hawa jamaa...

Wameoza kuliko CCM!

...
 

Mh Aeshi anatuhuma za kulawiti Mhindi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kama akikupigia simu mtu yeyote, akakuita mkutane mahali, usiende peke yako. Sasa hivi CCM wanachinja wafuasi na viongozi wa Chadema. Chukueni tahadhari. Nchi inayotawaliwa na CCM imeshaharibika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…