Nalipia kifurushi 110k, na matumizi yangu hayazidi 200GB per month lakini hii router hakuna kitu mzee, tumepigwa. Speed yake ukiconnect kwenye 4G na 5G ni sawa na inakata sana yaani kuitumia kwenye vitu vinavyohitaji video rendering muda wote hutoboi, inawafaa watumiaji wa social media wale wa kuscroll short videos na youtube wataenjoy.
Mbadala ni nini tunaomba mrejesho wa router za makampuni mengine.