Better call it a desktop pc.Chaji masaa mawili kama unacheki muvi
Kipimo cha graphics power consumption ni pamoja na ku play movie.Kanunue mpya dukani mzee mpenda muvi
Za masaa nane ndo zipo shop sasa mpya nami nazijua mbona kijanaKipimo cha graphics power consumption ni pamoja na ku play movie.
Ukitangaza biashara tegemea wateja waitathimini kabla ya kuinunua, hawakejeli bali wanautumia vizuri mwaliko wako kujadili mustakabali wa ulichokiweka kwenye showcase.
Laptops nowadays zinakaa na charge mpaka masaa nane ndio maana masaa mawili nikakwambia term it a desktop.
Kweli mm naona kama 250 freshKijana kwa bei hiyo na uchakavu wa sehemu ya mouse mbona haviendani na bei yako km zimeenda sana punguza kidogo na ss tujaribu kununua kama tutaweza
Jiulize sababu za kubandika spec. za laptop i.e co i5 N.kZa masaa nane ndo zipo shop sasa mpya nami nazijua mbona kijana