Hotel nzuri Morogoro

Mazingira

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2009
Posts
1,833
Reaction score
306
Wakuu Kwa wenyeji wa mji wa Morogoro naomba kujua hotel nzuri ya kati ya Tshs. 60,000 - 70,000 Kwa night mnijulishe. Kama una namba zao za simu pia nitashukuru ukiniwekea. Nimejaribu kutafuta Kwa internet hamna cha zaidi ya Morogoro Hotel, Hilux na Nashera. Natanguliza shukrani zangu.
 

Kama hujaridhika na hizo zote nenda kalale udzungwa fall lodge dola 160 single mwendo wa saa mbili na nusu kutoka msamvu
 
hizo hizo mbona ni nzuri,na zipo nyingi sana top life, kings way, mid land,mount uluguru,sofia hotel,frot view,nakadhali na kadhalika.
 
Ila kuna hoteli moja walimkomba waziri wetu kila kitu mpaka suruali. usiende hapo. maana vyangu wa hapo hawavheki na tumbili.
 
Hotel
Arc pale
Pazuri naahidi nitarudi tena
 


Mcheki Ridhiwani ndo katakeover kwa Mahotel Moro
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…