Hotel inauzwa Kariakoo

Hotel inauzwa Kariakoo

Joined
Sep 13, 2015
Posts
49
Reaction score
29
Ipo kariakoo mtaa wa makutano wa amani na vita karibu na Livingstone hotel ya zamani

1474958090322.jpg
Ni ghorofa tano(5) na ina Vyumba 24
.
Haina tatizo lolote

Bei: ni 2.5billions TSHS

contact: 0714571170/0786192808
 
Bei ni fixed au mazungumzo yapo.
 
Kumbe ukiwa na hela za Mboga kama zile za Ruge unaweza kuotesha milingoti kadhaa hapo Kariakoo eeh.
 
yategemea hakuna wateja hapo ndo maana panauzwa au walaji wamepungua kwenda
 
Walikuw awanaendsheba biasahra kienyeji hao
Wamiliki wengi wa hotel za muda mrefu walikuwa wanafanyakazi kwa amzoea.
we hotel hata website haina?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom