HORMONAL INBALANCE

Joined
Jan 16, 2019
Posts
18
Reaction score
3
[emoji98]HORMONE INBALANCE
[emoji97]Nimvurugiko wa(hormonal inbalance)ni hali ambayo inatokea kwenye mfumo unaohusika urekebishaji was hormon Kuvurugika/kutokuwa sawa.



[emoji98]CHANZO CHA HORMONAL INBALANCE

[emoji97] ujauzito/mimba.
[emoji97]ukomo wa hedhi kwa umri wa miaka 45.
[emoji97]matumizi tofauti ya uzazi wa mpango.
[emoji97]kisukari.
[emoji97]matatizo ya moyo.
[emoji97]wasiwasi/msongo wa mawazo.
[emoji97]goita.
[emoji97]umri mkubwa.
[emoji97]mfumo mbaya wa maisha.
[emoji97]uwepo wa sumu nyingi mwilini.
[emoji97]kansa/saratani.



[emoji98]DALILI ZA MWANAMKE MWENYE TATIZO LA HORMONES INBALANCE

[emoji97]kukosa hedhi.
[emoji97]hedhi kubadilika badilika.
[emoji97]kuingia hedhi muda mrefu.
[emoji97]Maumivu maksli ya tumbo wakati wa hedhi.
[emoji97]kuongezeka na kupunguza(kunenepa na kukonda Sana)
[emoji97]kupata Maumivu wakati wa tendo.
[emoji97]kusikia kiu Mara kwa Mara Kama mtu mwenye kisukari
[emoji97]kuota ndevu kwa mwanamke.
[emoji97]kukosa choo.
[emoji97]Maumivu ya tumbo chini ya kitovu.
[emoji97]kukosa usingiz.[emoji97]kutoka jasho na vipele/chunusi usoni.

[emoji98]MADHARA YA HORMONE INBALANCE

[emoji97]kutosha mimba
[emoji97]mimba kuharibika
[emoji97]kukosa mtoto au ugumba
[emoji97]Maumivu wakati wa tendo la ndoa
[emoji97]kuwahi na tabia au maumbile ya kiume
[emoji97] UTI (urinary track infection) Mara kwa Mara
[emoji97]kuzeeka mapema
[emoji97]kuziba kwa mirija ya uzazi
[emoji97]uvimbe kwenye uzazi wa mwanamke (fibroids au cysts
[emoji97]saratani

Niliyoandika Kama ni muhanga nitafute nikuhudumie utaenda Kuwa sawa Wenda unayoipitia yamesahabishwa na hi shida [emoji338]0717566549/0765462490 follow @afyamwanamke kupata mengi kuhusu afya yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…