Hongereni sana serikali sikivu ya CCM

Acha upumbavu.mafisadi wakubwa nyie unasifia ujinga.ukikua utaacha.ccm imeoza na 2015 itakuwa ni chama cha upinzani kama kilivyo udp.
Naona hujamwelewa mleta uzi pole,katumia fasihi unawezakuelewa tu ukisoma kwa makini na utulivu.
 
Hongera sana cccccccccccccm kwa maisha bora kwa kila mwana ccccccm mwenye cheo na njaa kali kwa kila mlala hoi hata kama ni mwanaccm!
 
watu wazima wanapofika mahala mnajigeuza kuwa watoto na vituko kwenye jamii ni shida sana endelee kujipotosha na kupotosha wasiokuwa na upeo ila siyo wenye upeo wao.

Kosa lake ni kuipongeza ccm?
 

na huyu je?
 

Attachments

  • 1412017167903.jpg
    35.3 KB · Views: 84
watu wazima wanapofika mahala mnajigeuza kuwa watoto na vituko kwenye jamii ni shida sana endelee kujipotosha na kupotosha wasiokuwa na upeo ila siyo wenye upeo wao.
Mada inatafakarisha ila wewe umekurupuka kama nape.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…