Hongera South Sudan!

Wabara tumechoka kusikiliza kelele za Wazanzibari! Muungano uvunjike tu kama muungano ni muhimu tuungane na nchi zinazouhitaji muungano kama vile nchi zilizo katika EAC tuachane na vinchi uchwara kama Zanzibar, kila siku wanataka kubebwa, kila wakati wanaona sisi tunawanyonya lakini mi sioni kitu cha maana zanzibar, maneno ya vijiweni kuwa wana mafuta yamewapa kichaa. Sasa ngoja muungano uvunjike kitakachofuata pale ni bora hata somalia na kilichotokea Rwanda. Na tunapovunja muungano tukubaliane kabisa kuwa tusiruhusu aina yoyote ya wakimbizi kutoka upande wa pili baada ya muungano. utasikia habari yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…