THINKINGBEING JF-Expert Member Joined Aug 9, 2010 Posts 2,779 Reaction score 1,304 May 4, 2014 #21 Petro E. Mselewa said: Muda unakaribia kwa kasi sana.Mkuu THINKINGBEING upo? Click to expand... Kijana kaingia mitini.Vijana wa siku hizi wanasema katuachia manyoya.
Petro E. Mselewa said: Muda unakaribia kwa kasi sana.Mkuu THINKINGBEING upo? Click to expand... Kijana kaingia mitini.Vijana wa siku hizi wanasema katuachia manyoya.
JAKOBO JF-Expert Member Joined Jan 28, 2013 Posts 934 Reaction score 194 May 4, 2014 #22 Mimi nilitarajia mbio hizo maana hata kwenye katiba ya Ccm na ilani ya uchaguzi mkuu uliopita mbio zimeluhusiwa,na aliyezindua mbio ni Jakaya Mrisho hapohapo Serena Hotel
Mimi nilitarajia mbio hizo maana hata kwenye katiba ya Ccm na ilani ya uchaguzi mkuu uliopita mbio zimeluhusiwa,na aliyezindua mbio ni Jakaya Mrisho hapohapo Serena Hotel
VUTA-NKUVUTE JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 6,140 Reaction score 18,004 May 4, 2014 #23 Nape angekuja kwenye Mdahalo ningeondoka.Aibu ingekuwa kubwa zaidi Mzee Tupatupa
VUTA-NKUVUTE JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 6,140 Reaction score 18,004 May 5, 2014 #24 Nape Nnauye Last edited by a moderator: Jan 4, 2016